| |
|
| |
Mwanangu,
... maagizo ya
Baba Mwema.”
(Dibaji ya Kanini ya Mt. Benedikto)
|
| |
Je,
upo tayari?
Kuacha familia yako na kujiunga na Jumuiya hii ya Wamisionari Wabenediktini
wa Tutzing?
Kuacha nchi yako na kutumwa popote kueneza na kushuhudia Injili –
kwani hili ni Shirika la Kimataifa. Lipo duniani pote – na mataifa
mbalimbali.
Kujifunza lugha nyingine? Kujifunza kazi itakayokusaidia kutumikia katika
utamaduni
|

First state of Formation: Aspirants with Sr. Gloria

Second state of Formation: Postulants

Third state of formation: Novitiate with Sr. Raphaela

Fourth state of formation: Juniorate with Sr. Pia
|
| |
Tunaitikia
mwito wa Mungu kadiri ya mahitaji ya wakati. Katika kazi zetu: kama Hospitali,
Shule, Ustawi wa Jamii, Yatima, Vilema, Watoto wa Kipapa, Legio Mariae,
Vijana.
|
| |
LENGO
LETU:
Kumtangaza Kristu kati ya watu wasiomjua, au kutambulikana vya kutosha,
kuamsha hali ya ufahamu wa Mungu katika jamii za wakati wetu ambao tunalegea
ili tuweze kukumbushana tena.
DHAMIRA:
SALA NA KAZI
Tunafanya huduma
zote kadiri ya hitaji la kanisa la mahali.
Masharti ya
mwombaji:
- Awe na nia
thabiti ya maisha ya kitawa
- Roho ya kimisionari.
- Afya njema
- Anatoka katika
familia ya Kikristu.
Awe amemaliza
kidato cha nne na kufaulu walau daraja la tatu na kupanda juu, na aongeze
kozi yoyote baada ya kidato cha nne, au amalize elimu ya kidato cha sita,
chuo kikuu, au chuo chochote baada ya kidato cha nne.
|
| |
Kama upo tayari,
ongea na Yesu.
Na umwandikie:
Mkurugenzi wa Miito
Masista Wamisionari Wabenediktini
S.L.P. 18 P e r a m i h o
Tanzania
Tel.: 25 260
2594
Mobile: 0748539678
Mkurugenzi wa
Miito: gloria@peramiho.org
Prioress: portmann@peramiho.org
|