Missionary Benedictine Sisters of
St. Scholastica Peramiho Tanzania:
Lengo
letu: SALA NA KAZI
Awali katika
shughuli za misioni, masista waliwafundisha waseminari na wanawake waliotengwa
kwa sababu za kimila zilizopinga kumuelimisha mwanamke kusudi aolewe na
kuzaa watoto tu. Mikakati na utekelezaji wa shughuli za kimisionari
vya masista miaka zaidi ya 100 iliyopita vinaendelezwa bado lakini kwa
mbinu tofauti na zile za awali ambazo hutokana na mahitaji na mazingira
ya Kanisa la mahali. |
|
||||||||||||||||||||||||||
| Huduma zetu ni zifuatazo: Uwemba Njombe tunafundisha Katekesi, tunashiriki shughuli za Jumuia Ndogo Ndogo, za Shirika la Kipapa la Mtoto Yesu na Vijana; huduma ya wagonjwa mahospitalini na katika zahanati; usitawi wa Jamii, kutunza watoto yatima, na kuendeleza vyuo vya Maarifa ya Nyumbani hususan huko Uwemba Njombe. Sasa Priorati yetu ina nyumba ndogo huko Uwemba na Uliwa Njombe. Baada ya muda mfupi tutafungua nyumba nyingine Mji Mwema Songea katika Jimbo Kuu la Songea | ![]() The Sisters Chapel |
||||||||||||||||||||||||||
Shirika letu lina nyumba:
|