Mchango wako
Msaada wako kwa ajili ya kazi zetu za hospitali, elimu, kutunza mazingira na uchungaji, unatusaidia sana.
Sala yako
Sisi wakristu tunaamini kwamba pia sala yako ni njia ya kutusaidia. Sisi Wabenediktini tunasali hasa zaburi. Karibu kujiunga na sala zetu.
Kujiunga nasi
Vijana wa kiume wanaosikia wito huo, pia wanaalikwa kujiunga na utawa.


















